VYOMBO VYA ULINZI VIMETAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIKATIBA

Makamu Wa Pili Wa Rais Wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla Amesema Msingi Mkubwa Ya Wiazara Ya Mambo Ya Ndani Ya Nchi Ni Kuhakikisha Inalinda Wananchi Na Mali Zao Pamoja Na Kutenda Haki Kwa Raia Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania.

Akizungumza Na Uongozi Wa Wizara Ya Mambo Ya Ndani Ya Nchi Uliofika Ofisini Kwake Baraza La Wawakilishi Chukwani Zanzibar Kwa Ajili Ya Kujitambulisha Amesema Suala La Usalama Wa Raia Na Mali Zao Ni Muhimu  Katika Kuimarisha Nchi Kisiasa,  Kiuchumi Na Kijamii 

KISWAHILI CHATAMBULIWA KIMATAIFA

Katibu Mtendaji Wa Kamisheni Ya Kiswahili Afrika Mashariki, Dkt. Caroline Asiimwe, Amesema Kiswahili Kimepiga Hatua Kubwa Kimataifa, Kikitambuliwa Na Umoja Wa Mataifa Na Unesco Kama Lugha Yenye Mchango Muhimu Duniani.

Hatua Hiyo Inatokana Na Idadi Ya Wanaozungumza Ikiendelea Kuongezeka Barani Afrika Na Kutumika Katika Majukwaa Ya Kidiplomasia, Biashara Na Teknolojia Jambo Linalothibitisha Kuwa Si Lugha Ya Kikanda Pekee, Bali Ni Sauti Ya Afrika Katika Jukwaa La Dunia.

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.