DKT. SAMIA AWAHIMIZA WATENDAJI KUWAJIBIKA

Raisi Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Amewaapisha Viongozi Aliowateua Hivi Karibuni Na Kuwataka Kuwajibika Ipasavyo Ili Kufanikisha Utekelezaji Wa Dira Ya Taifa.

Hafla Hiyo Ya Uapisho Iliyofanyika Ikulu Ya Magogoni Jijini Dar Es Salaam, Iliwahusisha Wakuu Wa Mikoa, Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala Wa Mikoa, Naibu Makatibu Wakuu, Katibu Mtendaji Wa Tume Ya Mipango, Naibu Katibu Mtendaji Wa Tume Ya Mipango, Na Balozi Iliambatana Na Kiapo Cha Ahadi Ya Uadilifu Wa Watumishi Wa Umma.

TAASSI ZA ELIMU ZASISITIZWA KUWEKEZA KWENYE UTAFITI

Wito Umetolewa Kwa Taasisi Binafsi Kushirikiana Vyema Na Taasisi Za Elimu Pamoja Na Kuekeza Katika Tafiti Hususan Za Kisayansi Na Teknolojia Kuhimiza Ubunifu Katika Ufundishaji Na Ujifunzaji Ili Kuinua Viwango Vya Tafiti Na Ubora Wa Elimu.

Wito Huo Umetolewa Jijini Dar Es Salaam Na Makamu Wa Rais Wa

SMZ YAWEKEZA ZAIDI YA SH. BIL. 13 KATIKA MAHAKAMA

Serikali Ya Mapinduzi Ya Zanzibar Imechukua Hatua Thabiti Ya Kuweka Mazingira Bora Ya Kufanyia Kazi Kwa Mhimili Wa Mahakama.

Amesema Katika Mwaka Wa Fedha 2025/2026 Serikali Imewekeza Zaidi Ya Fedha Za Kitanzania Shilingi Bilioni 13.6 Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Majengo Ya Kisasa Ya Mahakama Ambayo Yanaendana Na Uwekaji Wa Miundombinu Ya Tehama.

Baada Ya Shamrashamra Ya Wiki Ya Sheria, Hatimae Kilele Cha Maadhimisho Hayo Yamefanyika Kisiwani Pemba.

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.