Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Dk Hussein Ali Hassan Mwinyi,Amesema Serikali Za Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Na Ya Mapinduzi Ya Zanzibar Zitaendelea Na Mapambano Dhidi Ya Ugonjwa Wa Ukimwi.
Akizindua Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Kitaifa Huko Pemba Katika Uwanja Wa Gombani,Amesema Hivi Sasa Idadi Ya Waathirika Wa Maradhi Hayo Imepungua Kutokana Na Jitihada Zinazochukuliwa Na Serikali Zote Mbili.