ONGEZEKO LA ABIRIA UWANJA WA NDEGE WA 'AAKIA' LAAKISI MAENDELEO YA SERIKALI

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar (ZAA) kupitia Uwanja wake wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume (AAKIA) umeendelea kushuhudia ongezeko la idadi ya abiria pamoja na miruko ya ndege, huku hatua madhubuti za kuimarisha usalama wa anga zikiendelea kupewa kipaumbele.

DKT.MWINYI AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU PEMBA

Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Dk Hussein Ali Hassan Mwinyi,Amesema Serikali Za Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Na Ya Mapinduzi Ya Zanzibar Zitaendelea Na Mapambano Dhidi Ya Ugonjwa Wa Ukimwi.

Akizindua Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Kitaifa Huko Pemba Katika Uwanja Wa Gombani,Amesema Hivi Sasa Idadi Ya Waathirika Wa Maradhi Hayo Imepungua Kutokana Na Jitihada Zinazochukuliwa Na Serikali Zote Mbili. 

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.