WIZARA YA NISHATI IMEKABIDHI VITENDEA KAZI KWA TANESCO KUIMARISHA HUDUMA

Wizara ya Nishati imechukuwa  hatua mpya ya kuimarisha huduma za umeme Mkoani Shinyanga  baada ya Shirika la Umeme Tanzania  TANESCO kupatiwa vitendea kazi vitakavyorahisisha kuwafikia wananchi wengi zaidi, hususan waishio vijijini na maeneo ya pembezoni.

WASIRA AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA CCM GEITA

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Stephen Wasira, amewatahadharisha wanachama wa chama hicho kuacha tabia ya kuanzisha mivutano na uchochezi wanapokosa fursa za uteuzi au kushindwa katika kura za maoni.


 

MAFUNZO YA COPRA YAWANOA MAAFISA UGANI 75 MOROGORO

Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeendesha mafunzo maalum kwa Maafisa Ugani kata 75 wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali kuimarisha sekta ya kilimo kama mhimili mkuu wa uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.

TAKUKURU YANUSURU MAMILIONI YA FEDHA ZA UMMA

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imefanikiwa kuzuia upotevu wa zaidi ya Sh milioni 94.21 zilizokuwa zimefujwa kupitia miradi ya maendeleo na malipo haramu.

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.