GAMONDI ASAINI MKATABA WA KUWA KOCHA MKUU TAIFA STARS

Serikali Ya Jamhuri Ya Mungano Wa Tanzania Imempa Mkataba Wa Miaka Miwili Kaimu Kocha Mkuu Wa Taifa Stars Miguel Gamondi
 Na Sasa Kuwa Kocha Mkuu Ajili Ya Kuifundisha Timu Hiyo Ikiwa Ni Miongoni Mwa Mikakati Ya Kufanya Vizuri Katika Mashindano
 YaAfcon 2027

RAIS SAMIA AMESISITIZA VIPAUMBELE VYENYE UMUHIMU KWA TANZANIA NA AFRIKA

Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Watanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Amesisitiza Vipaumbele Vyenye Umuhimu Kwa Tanzania Na Afrika Kwa Ujumla, Ikiwemo Ustahimilivu Wa Majanga, Uendelevu Wa Madeni, Mpito Wa Haki Wa Nishati Safi, Uongezaji Thamani Wa Madini Muhimu, Na Usalama Wa Chakula.

Rais Samia Ameyasema Hayo Katika Mkutano Wa 39 Wa Wakuu Wa Nchi Na Serikali Wa Umoja Wa Afrika (Au) Unaoendelea Jijini Addis Ababa Ethiopia.

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.