Serikali Ya Jamhuri Ya Mungano Wa Tanzania Imempa Mkataba Wa Miaka Miwili Kaimu Kocha Mkuu Wa Taifa Stars Miguel Gamondi
Na Sasa Kuwa Kocha Mkuu Ajili Ya Kuifundisha Timu Hiyo Ikiwa Ni Miongoni Mwa Mikakati Ya Kufanya Vizuri Katika Mashindano
YaAfcon 2027