TANESCO LINDI YAPOKEA VITENDEA KAZI VYENYE THAMANI YA BILIONI 1.09 KUBORESHA HUDUMA YA UMEME

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Lindi limepokea vitendea kazi vipya vyenye thamani ya Shilingi bilioni 1.09 kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa huduma ya umeme kwa wananchi.

Vitendea kazi hivyo ni pamoja na Magari madogo mawili , Malori mawili, Bajaji Saba Pikipiki kumi na kompyuta nane

SAFARI FIELD CHALLENGE YAPONGEZWA KWA KUWA CHACHU YA KUKUZA UHIFADHI NA UTALII.

Timu ya Safari Field Challenge imepongezwa kwa mchango wake katika kuongeza ujuzi na ufanisi wa waongoza utalii ambayo ni chachu ya kutangaza utalii na kuimarisha uhifadhi nchini.

Pongezi hizo zimetolewa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), baada ya kutembelea timu hiyo katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Ndutu, ambapo ameisifu kwa juhudi zake za kuitangaza Tanzania ndani na nje ya mipaka yake.

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.