TUME YA TAIFA YA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI YATATUA MGOGORO ULIODUMU MIAKA 10 WILAYA YA KISARAWE

Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) imefanikiwa kutatua mgogoro  wa mpaka  kati ya vijiji viwili uliyodumu zaidi ya  miaka kumi huko Wilaya Kisarawe Mkoani Pwani.

SERIKALI YASAINI MKATABA UJENZI HOSPITALI YA MKOA MAHONDA

 Wizara ya Afya Zanzibar imetiliana Saini Mkataba wa Ujenzi wa Hospital ya Mkoa Mahonda na Kampuni Cross World Construction Limited.

Akizungumza baada ya Utaji Saini Mkataba huo Kaimu Waziri wa Afya Zanzibar Dkt. Saada Mkuya Salum amesema Mradi huo utakua ufumbuzi wa upatikanaji wa huduma za Kibingwa za Afya na kuipunguzia gharama Serikali ya kusafirisha Wagonjwa kutoka Nje ya Nchi.

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.