MWENYEKITI RAJABU, TANGA NDIO CHIMBUKO LA SOKA NCHINI

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga Rajabu Abdallah amesema mkoa huo ndio chimbuko la vilabu vya mpira nchini,hivyo wadau waunge mkono timu za eneo hilo ili kufufua ushindani uliokuwepo.

Akizungumza  wakati wa sherehe za kukabidhi basi kwaajili ya timu ya mpira wa miguu ya African Sports Club zilizofanyika makao makuu ya timu hiyo mwenyekiti Rajabu amesema timu hiyo na Coastal Union ushabiki wake ni zaidia ya Simba na Yanga.

RC TANGA ATOA AGIZO KWA WAKUU WA WILAYA KUHUSU WAMACHINGA

Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Batilda Buriani amewaagiza wakuu wa wilaya zote za eneo hilo kuwatafutia maeneo ya uhakika wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga,na katafuta sehemu ambayo watakaa bila changamoto

Akizungumza wakati akifunga maadhimisho ya wiki ya huduma za fedha kitaifa yaliofanyika mkoani Tanga katika viwanja vya shule ya sekondari usagara kwa wiki moja Jumatatu Januari 26,2026 Balozi Batilda amesema wafanyabiashara ndogondogo wanatakiwa kuwekwa sehemu  nzuri.

HATUJAANGUSHA NDEGE NI ZOEZI LA UTAYARI (ZAA)

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar (ZAA) imefanya zoezi la utayari ikiwa ni sehemu ya majukumu yake ya kawaida ya usalama wa anga katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume (AAKIA), lenye lengo la kupima uwezo wa kukabiliana na matukio ya dharura yanayoweza kutokea katika Viwanja vya Ndege.

NGUVU YA PAMOJA INAHITAJIKA KUKOMESHA UKATILI WA KIJINSIA

Nairat Abdallah Ali ndie Mkurugenzi mpya wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake TAMWA Zanzibar 

Nairat anachukuwa nafasi hiyo kutoka kwa Dkt. Mzuri Issa aliyehudumu katika nafasi hiyo kwa Kipindi cha Miaka 19

 

 

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.