RAIA 40 WA KONGO WAOKOLEWA BANDARI YA LIKONI PEMBA

Jumla Ya Watu 40 Wanaodaiwa Kuwa Ni Raia Wa Kongo Wameokotwa Katika Bahari Ya Mkoni Baada Ya Kuzama Na Chombo Huku Mmoja Akiwa Tayari Ameshafariki Dunia.

Akizungumzia Tukio Hilo Mkuu Wa Wilaya Ya Mkoani Miza Hassan Faki Ameelezea Tukio Hilo Daktari Dhamana Wilaya Ya Mkoni Amesema Majira Ya Saa Tano Mchana Wamepokea Majeruhi 3

VIONGOZI WAHAMASISHWA KUWASAIDIA WANANCHI

Makamu Wa Pili Wa Rais Wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla Amewahamasisha Viongozi Kuwasaidia Wananchi Hasa Katika Kipindi Cha Mwezi Mtukufu Wa Ramadhani Ili Kuweza Kuweka Uwiano Sawa Wa Mahitaji.

Mhe. Hemed Ambae Ni Mwakilishi Wa Jimbo La Kiwani, Ametoa Wito Huo Baada Ya Ugawaji Wa Futari Kwa Wananchi Wa Jimbo Hilo Shehia Ya Kendwa Yenye Nyumba Zaidi Ya 1156 Hafla Iliyofanyika Kwenye Uwanja Wa Mpira Wa Mauwanifutari Kwa Wananchi Wote Hasa Wenye Mahitaji Maalum.

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.