English
Jumla Ya Watu 40 Wanaodaiwa Kuwa Ni Raia Wa Kongo Wameokotwa Katika Bahari Ya Mkoni Baada Ya Kuzama Na Chombo Huku Mmoja Akiwa Tayari Ameshafariki Dunia.
Akizungumzia Tukio Hilo Mkuu Wa Wilaya Ya Mkoani Miza Hassan Faki Ameelezea Tukio Hilo Daktari Dhamana Wilaya Ya Mkoni Amesema Majira Ya Saa Tano Mchana Wamepokea Majeruhi 3
