UPATIKANAJI BIDHAA ZA FUTARI WARIDHISHA KATIKA SOKO LA MAJENGO

UPATIKANAJI WA FUTARI DODOMA
English

Wafanya Biashara wa bidhaa za Vyakula na Viungo katika Soko la Majengo Jijini Dodoma wamesema upatikanaji wa bidhaa hizo umekuwa wa kuridhisha hali inayoleta taswira nzuri ya upatikanaji wa Futari katika Kipindi cha Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Wakizungumza na ZBC wamesema bidhaa nyingi tayari zimeshafikishwa Sokoni hapo ikiwemo Ndizi, Mihongo, Viazi Vitamu, Mbatata na Maharage kwa ajili ya maandalizi ya Mwezi huo.

 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.