UWEKEZAJI ZANA ZA KILIMO AFRIKA HAIENDANI NA MAHITAJI HALISI
Tanzania Kwa Kushirikiana Na Shirika La Kilimo Na Chakula La Umoja Wa Mataifa (Fao) Imeandaa Mkakati Wa Taifa Wa Zana Za Kilimo Unaolenga Kuimarisha Matumizi Ya Uzalishaji, Usimamizi Na Uratibu Wa Teknolojia Za Kilimo.
