MHE. HEMED ATIA SHIME UPATIKANAJI WA DAWA ZA KISUKARI
Makamu Wa Pili Wa Rais Wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla Amesema Serikali Inawajibu Wa Kuweka Mazingira Wezeshi Kupitia Sera Madhubuti, Ufadhili Endelevu Na Ushirikiano Utakao Hakikisha Changamoto Kubwa Ya Ukosekanaji Wa Dawa Ya Insulini Kwa Watu Wanaoishi Na Ugonjwa Wa Kisukari Inapatiwa Ufumbuzi Wa Haraka.
