RAIS SAMIA AMEMUASILI MTOTO ALIYETELEKEZWA TABORA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuasili Mtoto mchanga wa kike aliyekuwa ametupwa na kutelekezwa huko Wilayani Nzega Mkoani Tabora.
Shughuli ya kumuasili Mtoto huyo imefanyika leo Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma.
