SHILINGI BILIONI MOJA ZIMEPATIKANA USAJILI VYOMBO VYA MOTO
Wizara Ya Fedha Na Mipango Imesema Jumla Ya Vyombo Vya Moto Kumi Na Tisa Elfu 337 Vimefanyiwa Usajili Wa Namba Mpya Unaosimamiwa Na Mamlaka Ya Mapato Zanzibar Zra.
Akijibu Suali Katika Kikao Cha Baraza La Wawakilishi Naibu Waziri Wa Fedha Na Mipango Dkt. Hamad Omar Bakari Amesema Kati Ya Vyombo Hivyo Gari Zilikuwa Kumi Na Tatu Elfu Na Sitini Na Kwa Vyombo Nyengine Ni Elfu Sita Mia 277.
Amefahamisha Kuwa Katika Uendeshaji Wa Zoezi Hilo Zaidi Ya Shilingi Bilion Moja Zimekusanywa Kwa Kipindi Cha Miezi Mitatu Tokea Zoezi Hilo Kuanza.
