ZANZIBAR YAKABILIWA NA UHABA WA WATAALAMU WA USONJI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema hali ya Usonji kwa Watoto ni changamoto kubwa katika Jamii, hivyo Serikali ina wajibu wa kuhakikisha inaunga mkono jitihada za kuwasaidia Watoto wanaoathirika na hali hiyo.

Subscribe to Autism
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.