REAL MADRID YATWAA UBINGWA WA LALIGA 2023/2024

The Real Madrid

    Real Madrid imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uhispania (LaLiga) ikiwa imesaliwa na michezo minne mkononi baada ya kushinda magoli 3-0 dhidi ya Cadiz.

   Baada ya Madrid kutangazwa mabingwa wa La Liga nafasi ya pili inashikwa na Girona FC yenye alama 74 huku nafasi ya tatu ikishikwa na Barcelona yenye alama 73, timu zote zikiwa zimecheza michezo 34.

 

Tags
stories
standard
 
The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.