RAIS SAMIA AMUAGA RAIS WA MSUMBIJI.

RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan  akimuaga Rais wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abedi amani.

Katika Uwanja wa Ndege Viongozi mbali mbali wa Chama na Serikali wamehudhulia kumuaga Rais Nyusi.

Vikundi mbali mbali vya Utamaduni vimetumbuiza katika kumuaga Rais huyo.

stories
standard
 
The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.