JKU YATWAA UBINGWA WA PBZ PREMIUM LEAGUES

Jku

    JKU Sc wamekabidhiwa Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar 'PBZ Premier League' baada ya kumaliza msimu wakiwa na alama 66 juu ya Zimamoto wanaofuata katika nafasi ya pili wakiwa na alama 62.

    JKU wamezawadiwa Kombe, Medali na kitita cha Shilingi Milioni 50.

 

stories
standard
 
The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.