MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA AKABIDHI MAGARI MAPYA NA (PA)SYSTEM KUONGEZA UFANISI KATIKA KAZI ZA HALMASHAURI

Katika juhudi za kuimarisha utoaji wa huduma kwa wananchi na kuongeza ufanisi wa utendaji kazi, Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Ndugu John L. Kayombo, amekabidhi rasmi magari mawili mapya pamoja na mfumo wa matangazo (PA System) kwa watumishi wa Jiji la Arusha.

TAPHATA WAFATILIA UPANUZI WIGO WA AJIRA KWA WATEKNOLOJIA DAWA

Rais wa Chama cha Wateknolojia Dawa Tanzania(TAPHATA) Bw.Thabiti Milandu amesema uongozi wa chama hicho unaendelea kufanya jitihada za dhati na juhudi za makusudi katika kuhakikisha unafuatilia utanuzi na upanuzi wa wigo wa ajira nchini ambapo taaluma hiyo inazalisha watu wengi na uhitaji ni mkubwa.

MAUAJI YA BILIONEA MSUYA: Niliona wakimpiga risasi, kutoroka na bodaboda-2

Agosti 7, 2023 jiji la Arusha na miji ya Moshi na Mirerani ilitikiswa na taarifa za kuuawa kwa kupigwa kwa risasi, mfanyabiashara maarufu wa madini, Erasto Msuya maarufu kwa jina la Bilionea...

Subscribe to arusha
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.