ZANZIBAR YASAINI MRADI WA KUIMARISHA MIUNDOMBINU
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesaini Mkataba wa Miaka Mitano na Czech–Tanzania Development Chamber of Commerce, unaolenga kuimarisha miundombinu na kuchochea uchumi endelevu wa Zanzibar.
Miongoni mwa Maeneo yatakayotekelezwa ni Sekta ya usafiri wa Anga na Barabara ya Reli na Miradi mingine ya kimkakati ili kuongeza fursa za kiuchumi.
