UUNGANISHAJI UMEME MOROGORO MBIONI KUANZA, REA YAKABIDHI ENEO
Wakandarasi wanaotekelza miradi ya kusambaza umeme nchini wametakiwa kushirikiana kwa karibu na Viongozi wa Serikali za Mitaa ili utekelezaji wa miradi ya kupeleka umeme kwa wananchi iweze kuleta tija na kuchochea uchumi wa Nchi.

