DKT. MWINYI ATAKA MISIKITI ITUMIKE KWA MANUFAA YA DUNIA NA AKHERA
Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi Amewataka Wananchi Kuhakikisha Wanaitumia Misikiti Kwa Kufanya Ibada Na Taaluma Nyingine Ili Kuleta Maslahi Mapana Kwa Ujenzi Wa Maisha Ya Dunia Na Akhera.
Dk Mwinyi Ameyasema Hayo Katika Hafla Ya Ufunguzi Wa Msikiti Wa Ijumaa Chachani Wilaya Ya Chake Mkoa Wa Kusini Pemba.
Alhaj Doctor Mwinyi Amesema Misikiti Ni Mahapa Pekee Pa Kukutana Na Kujadili Masuala Yanayoikabili Jamii Ikiwemo Kuwa Saidia Mayatima Wajane Na Wasiojiweza Il Kujenga Mustakbali Mwema Wa Maisha Na Mendeleo Yao
