DKT. MWINYI ATAKA MISIKITI ITUMIKE KWA MANUFAA YA DUNIA NA AKHERA

Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi Amewataka Wananchi Kuhakikisha Wanaitumia Misikiti Kwa Kufanya Ibada Na Taaluma Nyingine Ili Kuleta Maslahi Mapana Kwa Ujenzi Wa Maisha Ya Dunia Na Akhera.

Dk Mwinyi Ameyasema Hayo Katika Hafla Ya Ufunguzi Wa Msikiti Wa Ijumaa Chachani Wilaya Ya Chake Mkoa Wa Kusini Pemba.

Alhaj Doctor Mwinyi Amesema Misikiti Ni Mahapa Pekee Pa Kukutana Na Kujadili Masuala Yanayoikabili Jamii Ikiwemo Kuwa Saidia Mayatima Wajane Na Wasiojiweza Il Kujenga Mustakbali Mwema Wa Maisha Na Mendeleo Yao

Subscribe to RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.