RAIS SAMIA AMESISITIZA VIPAUMBELE VYENYE UMUHIMU KWA TANZANIA NA AFRIKA

Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Watanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Amesisitiza Vipaumbele Vyenye Umuhimu Kwa Tanzania Na Afrika Kwa Ujumla, Ikiwemo Ustahimilivu Wa Majanga, Uendelevu Wa Madeni, Mpito Wa Haki Wa Nishati Safi, Uongezaji Thamani Wa Madini Muhimu, Na Usalama Wa Chakula.

Rais Samia Ameyasema Hayo Katika Mkutano Wa 39 Wa Wakuu Wa Nchi Na Serikali Wa Umoja Wa Afrika (Au) Unaoendelea Jijini Addis Ababa Ethiopia.

DKT. SAMIA AWAHIMIZA WATENDAJI KUWAJIBIKA

Raisi Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Amewaapisha Viongozi Aliowateua Hivi Karibuni Na Kuwataka Kuwajibika Ipasavyo Ili Kufanikisha Utekelezaji Wa Dira Ya Taifa.

Hafla Hiyo Ya Uapisho Iliyofanyika Ikulu Ya Magogoni Jijini Dar Es Salaam, Iliwahusisha Wakuu Wa Mikoa, Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala Wa Mikoa, Naibu Makatibu Wakuu, Katibu Mtendaji Wa Tume Ya Mipango, Naibu Katibu Mtendaji Wa Tume Ya Mipango, Na Balozi Iliambatana Na Kiapo Cha Ahadi Ya Uadilifu Wa Watumishi Wa Umma.

Subscribe to RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO TANZANIA
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.