MBULU MJI YAJIPANGA KUUPOKEA MWENGE WA UHURU 2026 KWA MAFANIKIO

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu Bi. Rehema Bwasi  jana Aprili 1, 2026 ameongoza kikao cha tathmini ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2025, akiwapongeza watumishi wote wa halmashauri hiyo kwa ushiriki wao mkubwa ulioleta mafanikio ya kihistoria.

Subscribe to Mbulu
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.