DKT. MWINYI KUFUNGUA IJTIMAI ZANZIBAR
Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Kesho Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Katika Ufunguzi Wa Ijtimai Ya Kimataifa Itakayofanyika Katika Eneo La Fuoni Migombani.
Maandalizi Ya Ijitimai Hiyo Tayari Yamekamili Huku Waumini Wa Dini Ya Kiislamu Wakihimizwa Kuhudhuria Katika Ijitimai Hiyo Ambayo Itawakumbusha Mambo Ya Heri Na Kumcha Mwenyezi Mungu.
