MO, DEWJI AMHOJI MANGUNGU MTANDAONI KUHUSU MABADILIKO YA KLABU YA SIMBA
Mwekezaji wa klabu ya Simba na Mfanyabiashara Mohammed Dewij ameibuka Mtandao na kuhoji hatua iliyofikiwa katika mchakato wa Mabadiliko ya Mfumo wa uendeshaji wa Klabu ya Simba.
Swali hilo limeibuka wakati Uongozi wa klabu ukitangaza rasmi kurejesha usajili wa wanachama kwenye mkutano wake na Vyombo vya Habari Jijini Dar es Salaam. Leo Februari 10,2026.
