WATATU WATHIBITISHWA KUWA WENYEVITI WA BUNGE

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limewathibitisha Wabunge Deo Mnyika, Cecilia Pareso na Nagma Murtaza Giga kuwa Wenyeviti wa Bunge hilo .

Hayo yamejiri baada ya Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu kuwahoji Wabunge kikanuni kama waanafiki Wabunge hao kuwa Wenyeviti wa Bunge.

Wabunge hao waliteuliwa na Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Dkt.Samia Suluhu Hassan January 25 Mwaka huu Mjini Zanzibar.

Subscribe to BUNGE
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.