MAKONDA AZINDUA MKAKATI WA TAIFA KUKABILIANA NA MMOMONYOKO WA MAADILI

WAZIRI MAKONDA
English

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Kukabiliana na Mmomonyoko wa Maadili kwa muda wa miaka kumi kuanzia mwaka 2026/27 hadi 2036/37.

Tukio hilo limefanyika Aprili 29, 2026 Mtumba Jijini Dodoma, ambapo Waziri wa Maendelo ya Jamii, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameshiriki uzinduzi huo.

 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.