MKUU WA MKOA WA PWANI, RC KUNENGE ASHIRIKI ZOEZI LA KUPANDA MITI

Katika kusheherekea sikukuu ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari  Kunenge ameshiriki zoezi la upandaji wa miti katika shule ya Msingi Chumbi 'A' Wilayani Rufiji Mkoani Pwani.

Subscribe to Rufiji Pwani
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.