MAFUNZO YA COPRA YAWANOA MAAFISA UGANI 75 MOROGORO

Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeendesha mafunzo maalum kwa Maafisa Ugani kata 75 wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali kuimarisha sekta ya kilimo kama mhimili mkuu wa uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.

Subscribe to Morogoro
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.