UJENZI WA BARABARA TUNGUU-MAKUNDUCHI WAIVA
Asilimia 45 ya Vifaa vitakavyotumika kataika Ujenzi wa Barabara ya Tunguu- Makunduchi na Fumba Kisauni vimekamilika tayari kuanza Ujenzi.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Dkt. Khalid Salum Muhamed amekagua Kambi ya Mecco, Kampuni inayojenga Barabara hizo nakueleza kuridhishwa kwake na matayarisho yalifofanyika.
Hii si Biashara ya Gari lakini ni Kambi maalum ya Ujenzi wa Barabara ya Urefu wa Kilomita 48 ya Tunguu-Makunduchi na Barabara ya Fumba Kisauni yenye Urefu wa Kilomita 12.
