VIONGOZI NA WANANCHI WAJITOKEZA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MHESHIMIWA WILLIAM LUKUVI IRINGA
Ibada ya kumuaga aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na WenyeUlemavu) na Mbunge wa Isimani, Mheshimiwa William Vangimembe Lukuvi, inafanyika katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu, Kichangani, Kihesa, Manispaa ya Iringa.
