ZAIDI YA WATANZANIA 200 WAREJEA KUTOKA DUBAI

Zaidi ya Watanzania 200 waliokuwa wamekwama katika Nchi za Falme za Kiarabu kwa Siku kadhaa kutokana na vita vinavyoendelea kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran wamerejeshwa Nchini kwa Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania ATCL kupitia Uwanja wa Ndege wa Dubai hadi Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam.

 

Subscribe to ATCL
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.