MHE. HEMED APONGEZA MCHANGO WA TAASISI ZA DINI KUSIMAMIA MAADILI

Makamu Wa Pili Wa Rais Wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah Amesema Serikali Inatambua Na Kuthamini Mchango Wa Viongozi Wa Dini Katika Kuimarisha Amani, Maendeleo Na Maadili Mema Kupitia Mafundishoya Dini.

Mh. Hemed Suleiman Ametoa Kauli Hiyo Wakati Akizungumza Katika Uzinduzi Wa Mashindano Ya Qur’an Ya Mabara Yote Ulimwenguni Yanayo Ratibiwa Na Taasisi Ya Al Hikma Jijini Dar Es Salaam

Huku Akiwasihi Wanamchi Kuendelea Kushikamana Katika Kulinda Na Kutunza Amani Ya Nchi.

Subscribe to AL HIKMA FOUNDATION
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.