Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh.Dk. Samia Suluhu Hassan Amezindua Mpango Mkakati Wa Sayansi Wa Kujenga Umahiri Wa Kusoma, Kuandika Na Kuhesabu (Kkk)Kwa Watoto Wa Elimu Awali Na Wanafunzi Wa Darasa La Kwanza Na La Pili.
Akizungumza Katika Uzinduzi Wa Mpango Huo Uliofanyika Jiji Dar Es Salaam, Rais SamiaAmesema Kuwa Serikali Imejidhadhati Kuhakikisha Kuwa Hakuna Mtoto Atakaye Fika Darasa La Tatu Bila Ya Kuwa Na Uwezo Wa Kusoma Kuandika, Kuandika Na Kuhesabu.
Amesema Mpango Huo Ni Hatua Mpya Muhimu Itakayowajengea Wanafunzi Wa Elimu Ya Awali Pamoja Na Wanafunzi Wa Darasa La Kwanza Na La Pili Uwezo Wa Kusoma Kuandika Na Kuhesabu Na Kusisitiza Kuwa Mpango Huo Ni Sehemu Ya Utekelezaji Wa Ahadi Zake Za Siku Mia Moja Za Uongozi Wake.
Aidha Rais Samia Amesema Ufatiliaji Wa Matokeo Ya Utekelezaji Wa Mpango Huo Uwe Sehemu Ya Uwajibikaji Katika Ngazi Zote Ili Kuleta Matokeo Yanayopimika Kwa Manufaa Kwa Watoto Na Taifa Kwa Ujumla, Na Kusisitiza Kuwa Mpango Huo Haupaswi Kubaki Kwenye Makaratasi Bali Utoe Matokeo.
Rais Samia Ametowa Maelekezo Kwa Wizara Ya Elimu Sayansi Na Tenkolojia Na Ofisi Ya Tamisemi Na Wizara Nyengine Zinazoshughulikika Na Elimu Kuhakikisha Wanatekeleza Kikamilifu Mpango Huo.
Pia Ametowa Wito Kwa Wazazi Na Walezi Na Jamii Kwa Ujumla Kushirikiana Na Kikamilifu Na Serikali Katika Kufanikisha Mpango Huo.
Nae Waziri Wa Elimu Na Teknolojia Pr. Adolf Mkenda Akitaja Mambo Matano Yatakayoweza Mpango Huo Kutekelezeka Na Hapa Anayataja.
Kwa Upande Wake Katibu Mkuu Mtendaji Wa Baraza La Mitihani Tanzania(Necta)Pr. Said Ally Mohammed Amesemani Lazima Wanafunzi Wafundishe Kuandika, Kusoma Na Kuhesabu Ili Kuwajengea Uwezo Wa Kitaaluma Na Kiujuzi Mapema.
